Sunday, December 2, 2012

PICHA ZA KUONYESHA TASWIRA NZIMA YA MAZISHI YA SHARO MILIONEA

 
 
  Mwili wa Marehemu Hussein Ramadhan 'Sharo Milionea' ukiswaliwa mapema mchana huu kabla ya kupumzishwa kwenye nyumba yake ya milele.…
 
Mazishi ya Sharo Milionea yakiendelea kijijini kwao Lusanga - Muheza, mkoani Tanga.

Sehemu ya umati wa watu walioshiriki mazishi ya Sharo Milionea yaliyofanyika Novemba 28, 2012.
 
Rafiki mkubwa wa marehemu Sharo Milionea, Mzee Majuto akielezea machache kuhusu marehemu.

Baadhi ya waombolezaji waliohudhuria mazishi ya marehemu Hussein Ramadhan Mkieti 'Sharo Milionea' kijijini kwao Lusanga wilayani Muheza mkoani Tanga leo.
 
Waombolezaji waliopoteza fahamu wakipatiwa huduma ya kwanza msibani hapo.
 
Miss Kinondoni namba 2, 2011, Husna Maulid akilia kwa uchungu wakati wa mazishi ya Sharo Milionea yaliyofanyika Novemba 28, 2012.
Picha Zote kwa hisani ya GPL.
 
Habari na picha zote kwa hisani ya Global Publishers.

No comments:

Post a Comment

Unaonaje hii?