Sunday, December 2, 2012

MZEE MAJUTO (a.k.a KING MAJUTO) YUKO JUU NA VITEGA UCHUMI VYAKE

Mfano wa Kuigwa: Usimuone Anavyouza Sura Mjini Ukajua Hajajipanga. Big Up!!!!! Yupo Kikazi Zaidi 

              Hiyo Noah ya kulia anaitumia kutembelea tu ila hizi za kushoto ni daladala za abiria.
 

daladala ya kwanza

 
daladala ya tatu.
.
Hii nyumba ni yake na ndimo anamoishi, hana nyumba Dar es salaam.
.
.
.
.
Mtaa anaoishi.
.
Hii ni sehemu ya familia yake kasoro huyo alievaa nguo ya zambarao, ana
watoto saba ambapo wa kwanza amezaliwa miaka ya 70 na huyo mama ndio mke wake pekee.
 
Taarifa na Milardayo.com

No comments:

Post a Comment

Unaonaje hii?