Wafungaji wa Manchester walikuwa ni; Wayne Rooney (magoli 3 pekeake), Ashley Young (magoli 2 pekeake), Nani (1), Park Ji-Sung (1) na Welbeck (1). Wafuta machozi wa Arsenal walikuwa ni Van Persie na Walcott.
Wayne Rooney mfungaji wa magoli matatu akiwa amembeba Ashley Young aliyefunga mawili |
Wadau wakienda kuizkia Arsenal. RIP Arsenal |
No comments:
Post a Comment
Unaonaje hii?